• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Kusajili Biashara au Kampuni

Kwa mujibu wa Sheria ya Usajili wa Shughuli za Biashara Namba 14 ya mwaka 2007 (Business Activities Registration Act - BARA No 14 of 2007) ya biashara inatakiwa kusajiliwa na kupewa cheti cha kudumu ili kutambulika kuwa ni biashara rasmi. Usajili wa jina la biashara umekuwa ukifanywa na Wakala wa Usajili wa Makampuni na Majina ya Biashara Tanzania ambaye ni BRELA. Wakala huyu ndiye mtekelezaji Mkuu wa Sheria ya BARA na 14 ya mwaka 2007.

Usajili wa MAKAMPUNI hufanywa na BRELA chini ya sheria ya makampuni namba 12 ya mwaka 2002 (Company Act No 12 of 2002). Ili kusajili kampuni ya aina yeyote ile unashauriwa kufika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kitengo cha Biashara ili uweze kushauriwa namna bora ya kufanikisha usajili kwa wakati. Mahitaji muhimu ya usajili wa kampuni ni kama ifuatavyo:-

• Kuandaa/Kufikiria jina la kampuni;

• Kuandaa “Memorundam and Artcles of Association”;

• Kujaza fomu za usajili namba 14a na 14b;

• Kuandaa ada ya usajili wa kampuni inayotegemea mtaji wa kampuni;

• Kuwasilisha nyaraka husika kwa Msajili na Kupata cheti cha usajili wa kampuni.

Kumbuka, BRELA iko chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Mamlaka nyingine zilizoko chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara ni SIDO, TBS na Wakala wa Vipimo (WMA-Weights and Measure Agency) na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TANTRADE).

Ada ya Usajili wa Jina la Biashara (Business Name Registrtion Fee)

Ada ya usajili wa Jina la Biashara ni shilingi za Kitanzania elfu sita tu 6,000/=. Kuna fomu maalum za kujaza ili kuweza kujisajili kama biasharar ya mtu binafsi au kama biashara ya ubia (watu zaidi ya mmoja mpaka 20). Fomu za maombi ya usajili wa Jina la Biashara zinapatikana katika tovuti ya Mkoa wa Kagera, na kwa maelezo zaidi ya msaada namna ya kusajili jina la biashara wasiliana na Ofisi ya Biashara Mkoa wa Kagera.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ziara ya Rais Magufuli Mkoani Kagera Yatoa Mwangaza na Njia ya Kukuza Uchumi wa Mkoa na Taifa la Tanzania

    January 23, 2021
  • Wakuu wa Mikoa ya Kagera na Mtwara Watembelea Miradi Mikubwa Inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano Mkoani Dar es Salaam.

    December 19, 2020
  • Meli ya New Victoria Yatia Nanga Katika Bandari ya Bukoba Wananchi Wajitokeza Kwa Wingi Kuipokea Meli Yao

    June 28, 2020
  • Msimu wa Kahawa Kagera Wafunguliwa Rasmi Wakulima Kulipwa Ndani ya Saa 48 Serikali Kusimamia Haki Zao

    June 09, 2020
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti Akimkaribisha Rais Magufu Mkoani Kagera Katika Ziara ya Siku Mbili Januari 18-19, 2021
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa