• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Kusajili Biashara na Kupata Leseni

Kuna makundi mawili ya leseni za biashara kwa mujibu wa sheria za leseni ya leseni za biashara namba 25 ya mwaka 1972 iliyofanyiwa maboresho mwaka 1982. Makundi hayo ni:

 i) kundi la leseni zinazotolewa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (Halmashauri za Wilaya na Manispaa) 

ii) kundi la pili ni leseni zinazotolewa na Wizara ya Viwanda na Bisahara mfano leseni za kufungua na kuendesha Klabu za Muziki za Usiku (Night Clubs) na leseni za kununua na kuuza nje ya nchi (Import and Export License).

Masharti ya kuomba leseni za biashara kwa makundi yote mawili ni kama ifuatavyo:-

• Cheti cha usajili wa Kampuni au jina la biashara (Certificate of registration/incorporation)

• Kama ni kampuni “memorandum and article of Association''.

• Cheti cha urai (Passport ya Tanzania) au cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo (affidavit).

• Mkataba wa jengo analofanyia biashara husika au hati ya umiliki endapo jengo ni lake.

• Hati ya kujiandikisha kama mlipa kodi (TIN)

• Endapo wana hisa wa kampuni wapo nje ya nchi maombi yaambatane na hati ya kiwakili.

Pamoja na kukamilisha masharti hayo, ili kupata leseni siku za nyuma mwombaji alitakiwa kupitisha fomu ya maombi iliyojazwa katika Ofisi za mipango miji, ofisi za afya na hatimaye Ofisi za biashara tayari kwa kupata leseni husika baada ya kuwa wote wamekagua maeneo yao kitaalam na kujiridhisha. Hatua hiyo ilionekana kuwa na urasimu mwingi na kufanya ucheleweshaji wa kutoa leseni hatimaye biashara nyingi zilikuwa zikichelewa kuanzishwa. Ikiwa ni hatua za kurahisisha uanzishaji na uendeshaji wa biashara, sharti la kupitisha fomu ya maombi ya leseni katika ofisi za afya na mipango miji limeondolewa. Aidha, baada ya kukamilisha taratibu zote pamoja na nyaraka zote zinazohusika mwombaji itamchukua muda wa siku moja hadi tatu tu kuwa amepata leseni yake kutoka katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa alipoombea leseni yake.

Ada za leseni

Kwa kipindi kirefu ada za leseni kwa mujibu wa sheria zilikuwa kati ya shilingi 10,000 hadi 2,000,000 kutokana na aina ya leseni, eneo la biashara na aina ya biashara inayoombewa leseni. Wakati fulani ada hizo ziliondolewa na kwa kipindi kirefu leseni zilikuwa zikitolewa bure ili kurahisisha watu wengi zaidi kuhamasika na kuanzisha biashara ili kuiongezea serikali mapato kwa kuwa na vyanzo vingi vya mapato.

Hata hivyo serikali katika bunge la bajeti la mwaka 2011/2012 imerudisha utaratibu wa ada za leseni za biashara na utaratibu huu utaanza kutumika rasmi Januari Mosi, 2012. Umetolewa muda wa kutosha kuzipa Halmashauri za Wilaya muda wa kujiandaa na kuweka miundombinu vizuri ili zoezi hili litakapoanza liende kwa kasi inayotarajiwa na kuleta matunda kwa serikali za mitaa ili kupunguza utegemezi kutoka serikali kuu.

Hivyo ni muhimu kwa kila mfanyabiashara kuhamasika na kusajili biashara yake ikiwa ni pamoja na kuikatia leseni ya biashara husika ili kufanya biashara kwa haki, uhuru na amani na kuchangia kikamilifu ujenzi na uimarishaji wa uchumi wa Mkoa wa Kagera na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ziara ya Rais Magufuli Mkoani Kagera Yatoa Mwangaza na Njia ya Kukuza Uchumi wa Mkoa na Taifa la Tanzania

    January 23, 2021
  • Wakuu wa Mikoa ya Kagera na Mtwara Watembelea Miradi Mikubwa Inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano Mkoani Dar es Salaam.

    December 19, 2020
  • Meli ya New Victoria Yatia Nanga Katika Bandari ya Bukoba Wananchi Wajitokeza Kwa Wingi Kuipokea Meli Yao

    June 28, 2020
  • Msimu wa Kahawa Kagera Wafunguliwa Rasmi Wakulima Kulipwa Ndani ya Saa 48 Serikali Kusimamia Haki Zao

    June 09, 2020
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti Akimkaribisha Rais Magufu Mkoani Kagera Katika Ziara ya Siku Mbili Januari 18-19, 2021
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa