WAKUU WA WILAYA WATEULE WA MKOA WA KAGERA WAAPISHWA RASMI NA MKUU WA MKOA
Wakuu wa Wilaya wateule wa mkoa wa Kagera wameapishwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Kanali Mstaafu Fabian I. Massawe. Hafla hiyo ya kuwaapisha imefanyika katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa leo tarehe 18/05/2012 kuanzia saa 4:00 asubuhi mpaka saa 6:30 adhuhuri.
“Picha ni mkuu wa wilaya ya Biharamulo, Mh. Richard Mbeho akiapishwa na mkuu wa mkoa .”