| SEKTA YA NYUMBA NA UJENZI
Mkoa kwa kushirikiana na mashirika ya Taifa ya NSSF na NHC unahamasisha wananchi kujenga nyumba bora na nafuu ili kuwaweza wananchi kuishi katika mazingira na makazi bora. Hata hivyo sekta hii inakabiliwa na changamoto nyingi.
CHANGAMOTO
Gharama kubwa za vifaa vya ujenzi wa viwandani (cement, bati n.k)
MKAKATI
Kuomba Serikali kufufua mgodi wa madini ya bati (Tin) , Kyera-Karagwe
Kuomba Serikali kujenga viwanda vya vifaa vya ujenzi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. |