Kuna Hospitali 1, Vituo vya Afya 5 na Zahanati 53 kama inavyoonekana katika jedwali la hapa chini:-
Jedwali Na. 5 – Hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati :-
KITUO CHA HUDUMA |
MMILIKI |
SERIKALI |
TAASISI |
BINAFSI |
JUMLA |
Hospitali |
0 |
1 |
- |
2 |
Kituo cha Afya |
4 |
2 |
- |
6 |
Zahanati |
21 |
4 |
1 |
26 |
Kliniki Mzunguko |
92 |
- |
- |
92 |
Watumishi wa Afya Waliopo
Idadi ya watumishi wanaotoa huduma za kinga na tiba kwa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba ni 239 kama ifuatavyo:-
Madaktari 1
Madaktari Wasaidizi (AMO) 4
Tabibu (Clinical Officers) 25
Waganga Wasaidizi (V) 13
Maafisa Wauguzi 4
Wauguzi Wakunga 37
Maafisa Afya 5
Mabwana Afya Wasaidizi 13
Wauguzi Afya ya Jamii 8
MCHA 22
Wahudumu wa Afya 70
JUMLA: 207
Kulingana na takwimu hizi, Daktari mmoja anahudumia wastani wa wananchi 241,178 ukilinganisha na lengo la Kitaifa la wastani wa watu 15,000 kwa Daktari moja.
Magonjwa Makuu 10
Na. |
Ugonjwa |
Idadi ya waliougua |
Vifo |
1 |
Malaria |
74,697 |
178 |
2 |
Mangonjwa ya Njia ya hewa (ARI) |
37,719 |
34 |
3 |
Minyoo |
8,393 |
15 |
4 |
Kichomi (Pneumonia) |
7,162 |
13 |
5 |
Kuhara |
5,083 |
50 |
6 |
Ngozi |
4,057 |
0 |
7. |
Uchunguzi mwingine |
3,686 |
33 |
8. |
Macho |
3,532 |
0 |
9 |
Kupungukiwa Damu (Anaemia) |
1,748 |
20 |
10. |
Magonjwa ya masikio |
1,506 |
|
Kati ya magonjwa haya, Malaria ndiyo inaongoza, Watu 74,697 waliugua Malaria katika mwaka 2006, ARI ndiyo inayofuata ambapo watu 37,719 waliungua.
|