JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA MKUU WA MKOA KAGERA
     
 
     
BKB VIJ
 
 
     
HALMASHAURI YA WILAYA YA BUKOBA VIJIJINI
 
Halmashauri < [ Nyumbani ] au
 
 
BARABARA
 

Maendeleo ya Miundo Mbinu ya Barabara ni muhimu katika kukuza uchumi na huduma za kijamii katika Halmashauri yetu na Taifa kwa ujumla. Mtandao wa barabara katika Halmashauri yetu ni kama ifuatavyo:

Barabara Kuu km. 36 (tabaka la lami), barabara za Mkoa km 234, na barabara za Wilaya km. 578 (changarawe/udongo).

Matengenezo ya barabara hufanyika mara kwa mara ili ziweze kuendelea kupitika kwa mwaka mzima, hivyo kurahisisha usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo, hatimaye kukua kwa uchumi katika jamii.

 

 
 
 
 

BANDARI

 

Kuna Bandari moja inayomilikiwa na Shirika la Huduma za Meli (Marine Services) Kemondo;

 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 

 

 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 
 
 

SIMU

 

Kampuni ya Simu ya Tanzania (TTCL) inatoa huduma katika kata 4. Pia kuna Kampuni tatu za simu za mikononi za Zain TZ, Tigo na Vodacom zinazotoa huduma ya simu za mikononi.

 

 
 
 

POSTA

 

Kampuni ya Posta inaendelea kutoa huduma za usafirishaji wa barua na vifurushi. Jumla ya masanduku ya barua 800; vituo 7 vya posta, mawakala 30 wa kuuza Stamp kote wilayani


 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
     
     
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, BUKOBA, TEL: 028 - 2220215/17, FAX: 027-2752184