JJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA MKUU WA MKOA WA KAGERA
     
 
     
MULEBA
 
 
     
HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA
 
Halmashauri < [ Nyumbani ] au
 
 
 
IDARA YA FEDHA
 

Idara ya fedha ni mojawapo ya idara za huduma katika Halmashauri ya Wilaya. Idara hii hutoa huduma na ushauri wa kifedha kwa idara zote zilizo chini ya Halmashauri na pia hutoa huduma kwa wananchi na serikali za Vijiji vilivyomo ndani ya Wilaya hii.

Idara ya Fedha ina vitengo 5 ambavyo ni:-

 Final Accounts,

 Revenue Expenditure,

 Projects,

 Stores na

 Salaries.

Idara hii katika kutenda kazi zake hutegemea sana sheria ya fedha za Serikali za Mitaa (1982). Local Authority Financial Memorandam, sheria ndogo ndogo za Halmashauri pamoja na miongozo na nyaraka mbali mbali zitolewazo na mamlaka za juu.

 

 
 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 

 

 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
     
     
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, BUKOBA, TEL: 028 - 2220215/17, FAX: 027-2752184