Idara ya maji ni mojawapo ya idara za Halmashauri ambayo jukumu lake kubwa ni kuhakikisha kuwa wananchi wa wilaya ya Muleba wanapata maji safi na salama kupitia vyanzo mbali mbali vya maji katika umbali usiozidi mita 400 kutoka katika makazi yao .
Vyanzo vya maji
1. |
Visima virefu |
3 |
2 |
Visima vya kati |
10 |
3 |
Maji bubujiko |
10 |
4 |
Visima vifupi na pump za mikono |
90 |
5 |
Maji msukumo (pumping schemes) |
12 |
6 |
Vyanzo vya maji ya asili vilivyoboreshwa |
192 |
7 |
Matanki ya maji ya mvua |
264 |
8 |
Magati ya kuchotea maji (DPs) |
272 |
Vyanzo hivi vyote vinakadiriwa kuhudumia watu wapatao 257489 kati ya watu 445,484 wilayani Muleba ambao ni sawa na asilimia 57.8
|