MAENDELEO YA UTUMISHI
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba inahitaji watumishi 2407, kwa sasa ina watumishi 2144, ikiwa na upungufu wa watumishi 262 katika kipindi cha 2008/2009, kama inavyooneshwa kwenye kasma zao:-
IDARA |
KASMA |
WALIOPO |
MAHITAJI |
UPUNGUFU |
Utawala na Utumishi |
5000 |
205 |
250 |
45 |
Utawala pamoja na watumishi wa idara nyingine wenye mishahara TGS B+ |
5004 |
96 |
110 |
14 |
Elimu (Utawala) |
5006 |
16 |
17 |
1 |
Elimu (Walimu) |
5007 |
1606 |
1712 |
106 |
Elimu (EWW) |
5008 |
23 |
24 |
1 |
Afya(Kinga/tiba/usafishaji) |
5011/2/3 |
144 |
163 |
19 |
Ujenzi, Majengo na Mitambo |
5014-16 |
20 |
26 |
6 |
Maji |
5017 |
24 |
26 |
2 |
Wanyamapori na Uvuvi (Maliasili) |
5022/3 |
10 |
10 |
0 |
Walimu tarajali |
5029 |
0 |
68 |
68 |
JUMLA |
|
2144 |
2406 |
262 |
|
| |
| |
| |
ASASI MBALIMBALIi
Pamoja na shughuli zinazotolewa na Halmashauri, Wilaya inafanya kazi kwa karibu na Asasi zisizo za kiserikali katika kutoa ushauri wa kitaalam hasa upande wa miradi ya maendeleo.
|
| |
|
| |
|