JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA MKUU WA MKOA KAGERA
     
 
     
MISENYI
 
 
     
HALMASHAURI YA WILAYA YA MISSENYI
 
Halmashauri < [ Nyumbani ] au
 
 
 
MIFUGO
 

Ufugaji ni moja ya Sekta muhimu katika uchumi wa Wilaya yetu. Sekta hii inasaidia na kutegemewa sana katika:-

•  Kilimo (urutubishaji).

•  Chakula (Lishe).

•  Biashara (Mazao yake kama nyama, ngozi, mifugo yenyewe).

Jedwali Na: 8 takwimu za mifugo Wilayani

NA

AINA YA MFUGO

IDADI

1.

Ng'ombe

58,329

2.

Mbuzi

54,797

3.

Kondoo

4,750

4.

Nguruwe

1,366

 

 

 

Chanzo:, Idara ya Kilimo na Mifugo 2009

Katika kuendeleza mifugo juhudi zimeelekezwa katika uzuiaji wa magonjwa ya mifugo, kuongeza ubora wa mifugo kwa njia ya uhamilishaji na kuanzisha huria za ufugaji katika maeneo yanayofaa kwa ufugaji kwa wawekezaji wa ndani.

Wakulima na Wafugaji wetu wanapata huduma ya kinga na tiba kwa kushirikiana na Wataalam wa Mifugo. Magonjwa makuu ya mifugo ni minyoo, ndigana kali, ndigana baridi na kichaa cha mbwa.

 

 
 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 

 

 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 
Ng'ombe aina ya Ankole wanaofugwa kwa wingi sana Wilayani Missenyi.
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
 

 

 
 
 
 
     
     
 
 
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, BUKOBA, TEL: 028 - 2220215/17, FAX: 027-2752184