ZAO |
ENEO LILILOLIMWA (Ha.) |
MATARAJIO YA MAVUNO (Tani) |
UZALISHAJI KWA Ha (Tani) |
MAVUNO HALISI (Tani) |
Ndizi |
42,218 |
717,706 |
17.0 |
556,000 |
Kahawa |
16,177 |
24,261 |
1.5 |
14,570 |
Maharage |
56,000 |
42,000 |
0.75 |
38,520 |
Mahindi |
45,000 |
67,500 |
1.5 |
53,950 |
Mhogo |
5,092 |
5,920 |
0.5 |
5,090 |
Viazi Vitamu |
3,470 |
34,700 |
10.0 |
2,750 |
Viazi Mviringo |
4,950 |
49,500 |
10.0 |
32,500 |
Mtama wa Pombe |
6,030 |
6,030 |
1.0 |
14,570 |
Njegere |
1,300 |
650 |
0.75 |
570 |
Karanga |
5,500 |
5,125 |
0.75 |
4,225 |
Ulezi |
45 |
45 |
1.0 |
20 |
Soya Beans |
- |
- |
- |
- |
Mboga mboga |
250 |
450 |
1.8 |
415 |
Matunda |
3,116 |
2,960 |
0.95 |
1,250 |
MAZAO MBADALA NA MAZAO YA UKAME NA YANAYOVUMILIA MAGONJWA
Alizeti Hili ni zao linalobuniwa, ambalo limeonyesha mafanikio ya uzalishaji, zao hili likiboreshwa na kuandaliwa soko la uhakika au zao lenyewe au mazao yake (mafuta) litasaidia jamii kuinua kipato chao.
Mihogo Zao hili linakubali hali ya hewa ya hapa, juhudi zinafanywa kuhamasisha jamii ili ililime sana, hata kama halitatumika kama chakula, uzalishaji kwa wingi utasaidia kuuza na kuongeza kipato hivyo kusaidia kupunguza umaskini
|