| SEKTA YA KILIMO (MAZAO) |
| |
Hali ya Mvua
Katika msimu wa kilimo 2006/2007, mvua zilianza kunyesha kwa kuchelewa, na baadaye kunyesha kwa wingi kama inavyoonyesha hapo chini: -
Na. |
Mwezi |
Kiasi (mm) |
Idadi ya siku |
1. |
Julai |
0.5 |
- |
2. |
Agosti |
12.6 |
2 |
3. |
Septemba |
15.2 |
2 |
4. |
Oktoba |
46.1 |
8 |
5. |
Novemba |
246 |
16 |
6. |
Desemba |
211.9 |
23 |
7. |
Januari, 2007 |
81.6 |
9 |
8. |
Februari |
71.2 |
9 |
9. |
Machi |
144.6 |
13 |
10. |
Aprili |
126.3 |
12 |
11. |
Mei |
85.9 |
3 |
12 |
Juni |
69.8 |
3 |
13. |
Julai |
- |
- |
Hakuna athari za kimaumbile ambazo zimejitokeza, aidha zao la Maharage liliathirika sana kutokana na mvua nyingi zilizonyesha mwezi wa Novemba na Desemba 2006.
|
|
Uzalishaji wa Mazao msimu uliopita wa 2006/07 na mavuno
Utekelezaji wa malengo ya Kilimo kwa msimu wa 2006/07 kwa Wilaya ya Biharamulo ni kama inavyooneshwa hapa chini:
Mazao ya Chakula
Na. |
Zao |
Lengo (Ha.) |
Utekelezaji (Ha.) |
Matarajio ya Mavuno (MT) |
Mavuno Halisi
(MT) |
1. |
Mahindi |
11,356 |
10,902 |
14,254 |
15,262 |
2. |
Maharage |
10,124 |
7,867 |
4,557 |
5,507 |
3. |
Mtama (chakula) |
2,021 |
2,260 |
2,848 |
3,242 |
4. |
Mhogo |
10,240 |
9,931 |
46,505 |
79,448 |
5. |
Viazi vitamu |
6,746 |
5,036 |
26,116 |
25,180 |
6. |
Mpunga |
242 |
239 |
483 |
717 |
7. |
Karanga |
1,646 |
1,003 |
1,151 |
702 |
8. |
Ulezi |
606 |
416 |
302 |
188 |
9. |
Uwele |
72 |
81 |
65 |
48 |
10. |
Ndizi |
2,533 |
2,510 |
20,040 |
20,080 |
|
Jumla |
46,625 |
40,245 |
|
150,374 |
Kutokana na takwimu ya idadi ya watu Wilayani Biharamulo kwa mwaka 2007, mahitaji halisi ya chakula ni MT.50, 461.3 ya nafaka kavu (baada ya kutoa maji maji). Kutokana na mavuno ya mwaka huu ya MT. 150,374 ya nafaka ikiwemo mihogo mibichi, Wilaya ina ziada ya MT. 99,912.7 ikiwemo mihogo mibichi.
Mazao ya Biashara
Hali ya Mvua Kwa Msimu wa 2007/08
Katika msimu wa kilimo 2007/2008, mvua zilianza kunyesha mapema sana, Mvua zimeanza kunyesha katikati ya mwezi wa Agost kama jedwali linavyoonyesha hapa chini:
Na. |
Mwezi |
Kiasi (mm) |
Idadi ya siku |
|
Agosti |
61.6 |
5 |
|
Septemba |
83.8 |
4 |
|
Oktoba |
65.8 |
6 |
|
Novemba |
129.9 |
8 |
|
Hadi Desemba, 10 |
20.6 |
5 |
Hivyo kutokana na kuwahi kwa majira ya mvua isivyo kawaida baadhi ya Wakulima wametumia mvua hizi kulima na mazao mengi ya haya karibu yataanza kuvunwa ifikapo mwishoni mwa desemba. Aidha mazao yaliyopandwa msimu wa kawaida katikati ya oktoba yanaendelea vizuri.
|
|
Malengo na Matarajio ya mavuno msimu 2007/08
Malengo na matarajio ya mavuno kwa msimu wa mwaka 2007/2008 Kwa Wilaya ya Biharamulo ni kama inavyooneshwa hapo chini.
Mazao ya Chakula
Na. |
Zao la Chakula |
Lengo (Ha) |
Matarajio ya Mavuno (MT) |
1 |
Mahindi |
11,356 |
19,873 |
2 |
Mtama |
2,034 |
3,305 |
3 |
Mhogo |
9,301 |
58,131 |
4 |
Maharage |
10,124 |
4,557 |
5 |
Viazi Vitamu |
6,529 |
27,664 |
6 |
Mpunga |
242 |
595 |
7 |
Migomba |
2,533 |
41,793 |
8 |
Karanga |
1,646 |
1,151 |
9 |
Ulezi |
606 |
302 |
10 |
Mawele |
72 |
72 |
|
JUMLA |
44,443 |
157,443 |
Mazao ya Biashara
Na. |
Zao la Biashara |
Lengo (Ha) |
Matarajio ya Mavuno (MT) |
1 |
Pamba |
3,716 |
4,645 |
2 |
Tumbaku |
66 |
71.4 |
3 |
Kahawa |
702 |
737 |
4 |
Mtama Pombe |
3,456 |
3,888 |
|
JUMLA |
7,940 |
9,341.4 |
Tumbaku ya mvuke ndiyo iliyolimwa msimu huu kwa majaribio na kuacha kulima Tumbaku ya hewa
|
| |
| |
|
| |
| |
| |
| |
| |
|
| |
| |
| |
|
| |
|
| |
| |
| |
| |
| |
|
| |
| |
| |
| |
|
|
 |
| |
| |
| |
| |
UNUNUZI WA MAZAO YA BIASHARA MSIMU 2006/07
Pamba: Msimu wa ununuzi wa pamba ulifunguliwa tarehe 25/6/2007 . Jumla ya kampuni 5 za Kahama oil Mills, Kahama Cotton Company, Mass Trading Company, Cop - Cot Company na Dimond Ginning Company zilipewa kibali cha kununua pamba mbegu Wilayani. Hadi Novemba,2007 jumla ya Kg 890,093 zimenunuliwa. Bei ya kuuzia kwa kilo ilikuwa kati ya Tshs. 350/= hadi Tshs. 550/=.
Kahawa :
Zoezi la ununuzi wa kahawa limemalizika. Jumla ya kampuni 2 za Nile Commercial Company na Tanganyika instant Cofee zilipewa kibali cha kununua kahawa. Hadi kufikia tarehe Novemba, 2007 jumla ya Kg 8,131 za Kahawa ya maganda zimenunuliwa. Bei ya kuuzia kwa kilo ilikuwa Tshs. 500/ = hadi Tshs 550.
Tumbaku :
Jumla ya MT Kg 53,430 za Tumbaku ya hewa zimenunuliwa na kampuni ya ATTT kwa bei ya Tsh. 1,000/= hadi Tshs. 1,900/= kwa kilo.
HALI YA PEMBEJEO KWA MSIMU 2006/07
Upatikanaji wa mbegu bora za Mahindi kutoka kwa Wafanya biashara binafsi umeendelea kuwa mzuri na wakulima wamehamasika kuzitumia. Wafanyabiashara wa pembejeo za kilimo wanapatikana katika mji mdogo wa Runazi na Biharamulo.
UPATIKANAJI WA MBOLEA YA RUZUKU NA USAMBAZAJI WAKE. Wilaya ya Biharamulo na Mkoa wa Kagera kwa ujumla haimo katika orodha ya Wilaya zitakazostahili kupata mbolea ya ruzuku.
HALI YA KILIMO CHA WANYAMAKAZI Wilaya ya Biharamulo kwa sehemu kubwa inafaa kuendesha shughuli za kilimo kwa kutumia zana mbalimbali zinazokokotwa na wanyamakazi. Aidha kumekuwepo na ongezeko la matumizi ya wanyamakazi katika shughuli za kilimo kama inavyooneshwa katika jedwali hapa chini:-
Tarafa |
Zana |
Mwaka 2004 |
Mwaka 2006 |
0ngezeko |
Idadi |
% |
Nyarubungo |
Plau za ng'ombe |
291 |
342 |
51 |
18 |
Maksai |
1,162 |
1,366 |
204 |
18 |
Mikokoteni |
16 |
30 |
14 |
88 |
Lusahunga |
Plau za ng'ombe |
135 |
178 |
43 |
32 |
Maksai |
538 |
710 |
172 |
32 |
Mikokoteni |
10 |
30 |
20 |
200 |
Jumla Wilaya |
Plau za ng'ombe |
425 |
519 |
94 |
22 |
Maksai |
1,700 |
2,076 |
376 |
22 |
Mikokoteni |
26 |
60 |
34 |
131 |
Aidha katika msimu wa kilimo wa 2006/2007, jumla ya kaya 409 sawa na asilimia 1.7 zinatumia wanyamakazi katika shughuli za kilimo
HUDUMA ZA UGANI Hali ya Maafisa Ugani katika Wilaya ni kama inavyooneshwa hapa chini:
KATA |
Idadi Kaya zote |
Kaya Shiriki Kilimo |
Wanaohitaji (kuzingatia uwiano wa 1:700) |
Maafisa ugani waliopo |
Upungufu |
B'mulo mjini |
6819 |
6398 |
9 |
3 |
6 |
Nyarubungo |
4226 |
3063 |
4 |
2 |
2 |
Runazi |
3829 |
3817 |
5 |
2 |
3 |
Nyabusozi |
2855 |
2282 |
3 |
1 |
2 |
Nyamigogo |
1614 |
1284 |
2 |
1 |
1 |
Lusahunga |
3120 |
2496 |
4 |
2 |
2 |
Kalenge |
3605 |
2884 |
4 |
1 |
3 |
Nyakahura |
1998 |
1652 |
2 |
2 |
0 |
Jumla |
28,066 |
23,876 |
34 |
14 |
20 |
|
| |
| |
| |
| |
| |
|
| |
| |
| |
| |
| |
|
| |
| |
| |
| |
| |
|
| |
| |
| |
| |
|