Sekta ya utalii inaendelea kukua baada ya kuboresha vivutio vya kitalii mkoani. Vivutio hivyo ni :-
Musila Island
Kagera Museum
Rubale Forest water falls
Gera water falls
Kanazi palace
Rubondo Island
Nyakijoga rock paintings
Karobela beach
Jumla ya watalii 1045 wa ndani na nje walitembelea mkoa wa Kagera katika kipindi cha mwaka 2007 kama inavyoonekana katika Jedwali. |