• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Local Government Authority
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Farming Opprtunities
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

Viongozi wa Ngara





Lt. Col.Michael M.Mntenjele


Mkuu wa Wilaya ya Ngara


WASIFU WA MKUU WA WILAYA YA NGARA LT. COL. MICHAEL MANGWELA MNTENJELE

Na.

 Aina ya Taarifa
 Maelezo

1.

 Jina Kamili na 
 Utambulisho
 Lt. Col. Michael Mangwela Mntenjele

2.

 Tarehe ya Kuzaliwa
 Mei 25, 1967

3.

 Elimu au Mafunzo
 Jina la Shule/Chuo

Kutoka Mwaka

Hadi Mwaka

Kiwango (Mfano Cheti/Shahada)

i

 Bachelor of Education
 {BA (Ed)}
 Chuo Kikuu cha  
 Dar es  Salaam

1992

1996

Shahada

ii

 Diploma in Education
 Chuo cha Ualimu Korogwe

1987

1990

Diploma

iii

 Elimu ya Sekondari
 Shule ya Sekondari
 Bihawana

1983

1986

Cheti

iv

 Elimu ya Msingi
 Shule ya Msingi Zejele

1976

1982

Cheti

4.

 Mafunzo Mengine

Jina la Mafunzo

Lini

Wapi

i

 Mafunzo ya Kijeshi
 (CGSC)
 Command and General Staff Course

2014

Fort Leavnworth Kansas -USA

ii

 Mafunzo ya Kijeshi
 (J/CSC)
 Junior Command and Staff Course

2011

Twalipo - Dar es Salaam

iii

 Mafunzo ya Kijeshi
 (CCC)
 Company Commander’s Course

2005

TMA – Monduli Arusha

iv

 Mafunzo ya Kijeshi
 (PCC)
 Platoon Commander’s Course

2000

TMA – Monduli Arusha

v

 Mafunzo ya Kijeshi
 (O/CDT)
 Officer Cadet Training

1997/8

TMA – Monduli Arusha

vi

 Mafunzo ya Kijeshi
 (RECRUIT)
 Basic Military Training

1997

RTS – Kunduchi Dar es Salaam

5.

 Uzoefu na Ajira 

Kampuni/ Taasisi

Nafasi

Kutoka Mwaka

Hadi Mwaka

i

 Mkuu wa Wilaya
 Wilaya ya Ngara Mkoani
 Kagera

Mkuu wa Wilaya

2016

Hadi Sasa

ii

 Instructor
 School of Infantry

Instructor

2013

2016

iii

 Deputy Commander
 Mafinga JKT (841 KJ)

Bn 2i/c

2011

2013

iv

 Kaimu Mkuu wa Shule
 Shule ya Sekondari
 Jitegemee (JKT)

Kaimu Mkuu wa Shule

2010

2011

v

 Makamu Mkuu wa Shule
 Shule ya Sekondari
 Jitegemee (JKT)

Makamu Mkuu wa Shule

2008

2010

vi

 Mwalimu
 Shule ya Sekondari
 Jitegemee (JKT)

Mwalimu

1998

2008







Bw. Vedastus Tibaijuka


Katibu Tawala wa Wilaya ya Ngara




WASIFU WA KATIBU TAWALA WA WILAYA YA NGARA BW. TIBAIJUKA VEDASTUS JOSEPHAT

Na.

Ainaya Taarifa
 Maelezo

1.

 Jina Kamili na Utambulisho
 Bw. Tibaijuka Vedastus Josephat

2.

 Tarehe ya Kuzaliwa
 Februari 1, 1971

3.

 Elimu au Mafunzo
 Jina la Shule/Chuo

Kutoka Mwaka

Hadi Mwaka

Kiwango (Mfano Cheti/Shahada)

i

 Bachelor of Education Public
 Administration
 Chuo Kikuu cha
 Dar es Salaam

1995

1998

Shahada

ii

 Elimu ya Sekondari Kidato cha  
 V & VI
 Shule ya Sekondari Galanos
 (Tanga)

1991

1993

Cheti

iii

 Elimu ya Sekondari
 Shule ya Sekondari Kahororo
 (Bukoba)

1987

1990

Cheti

iv

 Elimu ya Msingi
 Shule ya Msingi Kiteme
 (Muleba)

1980

1986

Cheti

4.

 Mafunzo Mengine

Jina la Mafunzo

Lini

Wapi

i

 Mafunzo ya National Service
 (JKT)
 National Service JKT

Jan.-Juni

 1994


Oljoro JKT (Arusha)

ii

 Short Course Training
 (Certificate)
 New Labour Law and Public Service
 Labour Legisations  Collective Bargaining
 and Preparations for retirement

June

2010

Mwanza

iii

 Short Course Training
 (Certificate)
 Training in Human Capital Management
 Information System  (HCMLS) - LAWSON

Mei,

2011

Dar es Salaam

iv

 Short Course Training
 (Certificate)
 Training in Result Based Management

Desemba,

2013

Dar es Salaam

5.

 Uzoefu na Ajira 

Kampuni/ Taasisi

Nafasi

Kutoka Mwaka

Hadi Mwaka

i

 Katibu Tawala wa Wilaya
 Wilaya ya Ngara Mkoani
 Kagera

Katibu Tawala

2013

Hadi Sasa

ii

 Afisa Utumishi Mwandamizi
 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa
 Kagera

Afisa Utumishi Mwandamizi

2006

2013

iii

 Katibu wa Mkuu wa Mkoa
 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa
 Kagera

Katibu

2006

2007

iv

 Mwalimu na Mwalimu wa
 Taaluma  Mwandamizi
 Shule ya Sekondari Ihungo
 (Bukoba)

Mwalimu na Mwalimu wa Taaluma Mwandamizi

1999

2006



HISTORIA YA WILAYA YA NGARA

Ngara ni Wilaya inayopatikana katika Mkoa wa Kagera Kaskazini Magharibi. Pia inapakana na Wilaya za Karagwe na Biharamlo za Mkoa wa Kagera na Kakonko ya Mkoa wa Kigoma.

Wilaya ya Ngara inakaliwa na Makabila ya Wahangaza na Washubi. Wilaya ya Ngara inapakana na nachi za Rwanda na Burundi na lugha ya wananchi wa Ngara ni Kihangaza na Kishubi.

Wilaya ya Ngara kabla ya kuitwa Ngara iliitwa Kibimba (yaani pori). Chanzo cha jina hilo la Ngara lilitokana na sehemu iliyokuwa maaalumu kwa mikutano ambayo ilifanyika chini ya miti mikubwa inayoitwa Iminyinya  Yingara (miti mikubwa yenye matawi yaliyosambaa) ambapo kwa sasa eneo hilo ndipo yalipo majengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Ngara na mti wa kumbukumbu upo mpaka sasa. Na hapo ndipo jina la Ngara lilipotokea.


ORODHA YA WAKUU WA WILAYA YA NGARA TANGU MWAKA 1961 HADI SASA

NA.

 JINA KAMILI

MWAKA WA KUINGIA

MWAKA WA KUTOKA

1.

 LT. COL. MICHAEL M. MNTENJELE

2016

-

2.

 HONORATHA CHITANDA 

2015

2016

3.

 COSTANTINE JOHN KANYASU

2012

2015

4.

 COL. (MST) S.W. NYAKONJI

2006

2012

5.

 COL. SAMUEL A. NDOMBA

2005

2006

6.

 LT. COL. SAMUEL A. NDOMBA

2001

2005

7.

 DEUSDEDIT MTAMBALIKE

1999

2001

8.

 LT. EVANCE BALAMA

1996

1999

9.

 BRG. GEN. SYLVESTER HEMED

1994

1996

10.

 JONAS MWAKISYOMBE

1992

1994

11.

 LT. EVANCE BALAMA

1990

1992

12.

 ANTONY T.NDERUMAKI

1987

1990

13.

 JOHN PETER TAYALI

1983

1987

14.

 FAUSTINE KATOYO

1979

1983

15.

 PAULO GHEMELA

1976

1979

16.

 ENOCK LYANGALO

1975

1976

17.

 LOSA KYOMBA YEMBA

1973

1975

18.

 PIUS MIKONGOTI

1972

1973

19.

 IBRAHIM KAJEMBO

1969

1972

20.

 WAZIRI JUMA WAZIRI

1967

1969

21.

 MBUTA M. MIRANDO

1966

1967

22.

 EBRAHIM BAMPENJA

1963

1966

23.

 EDWIN ARAN K. NYAMUBI

1962

1963





Matangazo

  • Wanafunzi wa Darasa la VII Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato Cha Kwanza Mwaka 2019 Mkoani Kagera. December 21, 2018
  • Wanafunzi wa Darasa la VII Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato Cha Kwanza Mwaka 2018 Mkoani Kagera. December 20, 2018
  • Matokeo ya Mtihani wa Maarifa (QT) January 30, 2018
  • Matokeo ya Mtihani Kidato cha Nne (CSEE) 2017 January 30, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awaasa Wajumbe wa Kamati Kuu CCM Mkoa Kuacha Malumbano na Migogoro Ili Chama Kiisimamie Serikali Kutekeleza Ilani

    February 21, 2019
  • Waziri Mkuu Awasili Mkoani Kagera na Kutoa Wito Kwa Wakandarasi Wazawa Kukamilisha Miradi Kwa Wakati Wanayopewa na Serikali Bila Visingizio

    February 20, 2019
  • Shughuli za Mahakama Mkoani Kagera Zafunguliwa Rasmi Mwaka 2019 Kesi ya Mauaji ya Mwanafunzi Spelius Eradius Yasikilizwa Kwa Mara ya Kwanza

    February 06, 2019
  • Uongozi wa Mkoa wa Kagera Waweka Mikakati ya Kuthibiti Utoroshwaji wa Madini ya Bati Wilayani Kyerwa Kuuzwa Nchi Jirani

    February 04, 2019
  • Tazama zote

Video

Mkoa wa Kagera Umejipanga Kufufua Zao la Chai na Kuwainua Wakulima.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Kaunta ya Wageni

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa