• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Vijana

UTANGULIZI

Vijana nchini Tanzania fasili yake ni vijana wa kike na wa kiume kuanzia umri wa miaka 15 hadi 35.(sera ya taifa ya maendeleo ya vijana toleo la Desemba 2007, uk. 13)

Sensa ya watu na makazi 2012

Takwimu za sensa ya taifa ya watu na makazi ya mwaka 2012 zinaonyesha kwamba idadi ya vijana nchini Tanzania ni 15,587,621 sawa na asilimia 34.7 ya watanzania wote. Miongoni mwao vijana wa kiume ni 7,314,116 sawa na asilimia 33.4 ya vijana wote nchini na wa kike ni 8,273,505 sawa na asilimia 35.9 ya vijana wote nchini

Kagera

Idadi ya vijana mkoani kagera hufikia 793,756 (me 381, 514 na ke 412,242) sawa na asilimia 5.09 ya vijana wote nchini. Vijana wanaoishi vijijini ni 696,397( me 335,766 na ke 360,631) na mijini ni 97,359( me 45,748 na ke 51,611).Idadi ya vijana wa kike waliofikia umri wa uzazi (reproductive women ) wenye umri kati ya miaka 15 hadi 35 ni 412,242 sawa na asilimia 3.78 ya wanawake wote wenye sifa hiyo wanaokadiriwa kufikia 10,905,117 nchini.

Shughuli za kiuchumi

Vijana mkoani Kagera hujishughulisha na ujasiriamali katika maeneo yafuatayo

Kilimo: kahawa,migomba,maharage,mahindi,maghimbi.

Uvuvi: Samaki wa aina mbalimbali kama sangara,dagaa,sato n.k

Ufugaji: Nyuki,ngombe,samaki,kuku n.k.

Usafirishaji: Pikipiki (bodaboda)

Biashara ndogondogo

ufundi: (seremela,ushonaji,kompyuta,uashi)

Asasi zinazotoa huduma kwa vijana

Kuna asasi mbalimbali zinazotoa huduma kwa vijana na hivyo basi kuchangia katika utekelezaji wa sera ya taifa ya maendeleo ya vijana. Baadhi ya Asasi hizo ni kama WOSCA, WAMATA, WORLD VISION, TUMAINI LETU, KADETEF, VIMAKA, HDT, GCNT ,CODISO, SAPO, REDESO, CADA, TWESA, CARITAS,FAIDERS,ACORD,BODESA, TAHEA,TRCS,SHIDEPHA,ISHI TADEPA na MUVIKA.

Asasi hizi kwa ujumla hujishughulisha na kutoa elimu ya Afya,kilimo,ujasiriamali,ufugaji na stadi za maisha kwa vijana.

Mwenge wa uhuru

Mbio za mwenge wa uhuru zinazoratibiwa na idara ya vijana pia imekuwa ni njia muhimu na maalum ya kuelimisha na kuhamasisha vijana na jamii kushirikiana na serikali kwa njia ya kujitolea ili kujiletea maendeleo.

Mwenge wa uhuru hukimbizwa na vijana katika kila mkoa, halmashauri za wilaya na manispaa kote nchini.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ziara ya Rais Magufuli Mkoani Kagera Yatoa Mwangaza na Njia ya Kukuza Uchumi wa Mkoa na Taifa la Tanzania

    January 23, 2021
  • Wakuu wa Mikoa ya Kagera na Mtwara Watembelea Miradi Mikubwa Inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano Mkoani Dar es Salaam.

    December 19, 2020
  • Meli ya New Victoria Yatia Nanga Katika Bandari ya Bukoba Wananchi Wajitokeza Kwa Wingi Kuipokea Meli Yao

    June 28, 2020
  • Msimu wa Kahawa Kagera Wafunguliwa Rasmi Wakulima Kulipwa Ndani ya Saa 48 Serikali Kusimamia Haki Zao

    June 09, 2020
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti Akimkaribisha Rais Magufu Mkoani Kagera Katika Ziara ya Siku Mbili Januari 18-19, 2021
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa