• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

TULIPE KODI-RC MWASSA

Imewekwa : October 7th, 2023

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanzisha kampeni ya TUWAJIBIKE yenye lengo la kuwahimiza wafanyabiashara kutumia mashine za risiti za kieletroniki ili kukuza maendeleo kupitia kodi


Akizundua kampeni hiyo, katika viwanja vya soko kuu la Manispaa ya Bukoba, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Fatma Mwassa ameeleza juu ya umuhimu wa ulipaji kodi kwa maendeleo ya Taifa letu na kuwataka wafanyabiashara kutumia mashine za kieletroniki ili Serikali iweze kupata kodi inayowezesha kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya elimu, afya, barabara, umeme na nyinginezo


“Leo nimezindua kampeni ya TUWAJIBIKE katika Mkoa wa Kagera, lengo ni kuhimizana kulipa kodi. Kwenye hili sitakuwa na huruma, kwenye kodi lazima tulipe kodi kwani hata Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameagiza tusimamie na kuhakikisha wafanyabiashara tunalipa kodi, niwaombe sana tulipe kodi,” ameeleza Mhe. Mwassa


Ameendelea kueleza kuwa mfanyabiashara anatakiwa kulipa kodi na mfanyakazi analipa kodi kupitia mshahara wake. Mkoa wa Kagera unapoteza mapato mengi kwani biashara nyingi hazijarasimishwa. Wafanyabiashara walio wengi wanapanga bidhaa kandokando mwa barabara hivyo kuipa ugumu mamlaka ya mapato kukusanya kodi kwa wafanyabiashara hao


Katika mkutano huo ameeleza juu ya fursa iliyotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sekta ya mifugo, Mpango wa kopa ng’ombe lipa maziwa, wataletwa ng’ombe wengi ambapo kwa Mkoa wa Kagera imetengwa dola milioni 30 sawa na Tsh. bilioni 70 kwa ajili ya Mpango huo. Na Taasisi ya Bill and Melinda Gates (BMGF) wakaongeza dola millioni 7 hivyo kuwataka wananchi kuchangamkia fursa hiyo kwa kila familia kuwa na mradi wa ufugaji ng’ombe wa maziwa


Akitoa maelezo juu ya kampeni hiyo, Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mkoa wa Kagera Ndg. Ayub Mwita ameeleza kuwa uzinduzi wa kampeni ya TUWAJIBIKE yenye kauli mbiu “Kodi Yetu Maendeleo Yetu” maana yake ni ukuaji wa haraka wa maendeleo ya Nchi yetu yanatokana na kodi zetu zinazolipwa. Hivyo Watanzania bila kulipa kodi Nchi haiwezi kujitegemea na kujiletea maendeleo ya haraka.


Kulipa kodi kunaiwezesha Serikali kujenga miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege, kujenga hospital na vituo vya afya.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa